HEKIMA KIPAJI Blog
Kukuhabarisha kila wakati
Sunday, 17 July 2016
Tanzania na tishio la Ugaidi
Tanzania imefaulu kuepuka mashambulizi ya kigaidi kama yaliyoshuhudia katika mataifa jirani kanda ya Afrika Mashariki.
Hata hivyo Shambulizi la hivi punde dhidi ya msikiti mmoja nchini Tanzania limeibua tishio la kuibuka kwa ugaidi nchini humo.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment