Sunday, 17 July 2016

Tanzania na tishio la Ugaidi


Tanzania imefaulu kuepuka mashambulizi ya kigaidi kama yaliyoshuhudia katika mataifa jirani kanda ya Afrika Mashariki.

Hata hivyo Shambulizi la hivi punde dhidi ya msikiti mmoja nchini Tanzania limeibua tishio la kuibuka kwa ugaidi nchini humo.

No comments:

Post a Comment