Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Biharamulo Magharibi Mkoani Kagera kwa Tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amefariki Usiku wa kuamkia Leo.
Dk. Anthony Gervase Mbassa (Chadema) amefariki Usiku wa Kuamkia leo Jumapili Juni 26, 2016. Chanzo hakijajulikana kwani amepatwa na umauti ghafla.
No comments:
Post a Comment