Monday, 27 June 2016

Jacob Zuma aamriwa kurudisha pesa alizochota


Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma ameambiwa kuwa ni lazima alipe zaid ya dola nusu milioni pesa za umma, ambazo alitumia kukarabati nyumba yake.

Mahakama ya juu zaidi nchini Afrika Kusini imetaka wizara ya fedha, kutambua ikiwa ni kiasi gasi Rais Zuma anastahili kurejesha kufutia uamuzi wa mapema mwaka huu kuwa alikuwa amekiuka katiba ya Nchi.

No comments:

Post a Comment